Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Korporale

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Korporale iliyokunjuliwa.
Korporale hiyohiyo, imekunjwa.

Korporale (kwaKiingereza:corporal) nikitambaa aghalabucheupe kidogo chamraba ambacho kinatandikwaaltareni juu ya vitambaa vingine vyote na ambapo juu yake huwekwapatena,kikombe na penginesibori katika adhimisho laMisa.

Jinaasili laKilatini:corporax linatokana nanenocorpus, yaanimwili, kumaanisha kwamba lengo lake ni hasa kubebaMwili wa Kristo katikaekaristi.

Tanbihi

[hariri |hariri chanzo]

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  • Atchley inSt. Paul's Eccles. Soc. Transactions (1900), IV, 156-160
  • Barbier de Montault inBulletin Monumental (1882). 583-630.
  • Barbier de Montault,Le Mobilier Ecclésiastique
  • Gihr,The Mass, tr. (Freiburg, 1902), 281-264
  • Charles Rohault de Fleury, "La Messe" (Paris, 1888), VI, 197-204;Dict. Christ. Antiq., s.v. Corporal;
  • Streber inKirchenlexikon, III, 11O5-11O7
  • Thalhofer,Liturgik, I, 777-781
  • Van der Stappen,Sacra Liturgia (Mechlin, 1902), III, 102-110
  •  "Corporal" .Encyclopædia Britannica. Juz. la 7 (tol. la 11th). 1911. uk. 189.{{cite encyclopedia}}:Cite has empty unknown parameter:|coauthors= (help)
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuKorporale kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Korporale&oldid=1321511"
Jamii:
Jamii iliofichwa:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp