Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Konklevu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Moshi mweusi kutokaKikanisa cha Sisto IV niishara ya kwamba Papa mpya hajachaguliwa.[1]
Moshi mweupe ni ishara ya kwamba Papa mpya amechaguliwa.[1]
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja waMungu
Utatu (Baba,Mwana,Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa:Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Konklevu (kutokaKilatini "cum clave", yaani "kwa ufunguo", kupitiaKiingereza "conclave") nimkutano maalumu yamakardinali wote wenyeumri chini ya miaka 80 unaofanyika ili kumchaguaaskofu waRoma, maarufu kamaPapa waKanisa Katoliki.

Lengo la kujifungia ndani tangukarne za kati ni kuzuia makardinali wasiingiliwe nawatu wa nje, hasawatawala, ambao wanaweza kuwa na malengo tofauti na yale ya kiroho.

Kwa sasa kuna taratibu nyingi zilizopangwa kinaganaga, ambazo mojawapo ni kwamba wapigakura wasizidi 120.

Tanbihi

[hariri |hariri chanzo]
  1. 1.01.1Chumley, Cheryl K. (12 Machi 2013)."What Do American Catholics Want in the Next Pope?".Fox News. The Washington Times. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutokachanzo mnamo 2017-07-07. Iliwekwa mnamo15 Machi 2013.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuKonklevu kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Konklevu&oldid=1150076"
Jamii:
Jamii iliofichwa:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp