Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Kondoo-kaya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kwa kundinyota ya Aries inayoitwa pia kondoo,angalia hapa

Kondoo-kaya
Kundi la kondoo
Kundi la kondoo
Uainishaji wa kisayansi
Himaya:Animalia(Wanyama)
Faila:Chordata(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli:Mamalia(Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda:Artiodactyla(Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)
Nusuoda:Ruminantia(Wanyama wanaocheua)
Familia:Bovidae(Wanyama walio na mnasaba nang'ombe)
J. E. Gray, 1821
Nusufamilia:Caprinae(Wanyama wanaofanana nambuzi)
Jenasi:Ovis(Kondoo)
Linnaeus, 1758
Spishi:O. aries(Kondoo-kaya)
Linnaeus, 1758

Kondoo-kaya (Ovis aries) ni mnyama afugwaye na binadamu kwa sababu yanyama,sufu na piamaziwa. Kondoo hula manyasi na kutembea kwa vidole viwili.

Asili yake ni aina za kondoo wa pori waliofugwa kwa sababu ya nyama na maziwa. Katika nchi yenye baridi sufu au nywele zake inatafutwa sana kwa sababu nguo za sufu ni kinga nzuri dhidi ya baridi.

Wataalamu wamegundua kwamba asili ya kondoo-kaya wote ni kondoo wa porini kutokaKaukazi ambako ufugaji wa mnyama huyu ulianzishwa na kuenea.

Kondoo wako katikafamiliaBovidae pamoja naspishi zang'ombe na kama hawa wanacheua chakula chao na huwa na tumbo lenye vyumba vinne. Baada ya kula nyasi mara ya kwanza wanairudisha kutoka chumba cha kwanza cha tumbo na kuitafuna tena. Kwa njia hii wanapata lishe nyingi kutoka nyasi.

Duniani kuna jumla kondoo-kaya bilioni moja na asilimia 40 wako Asia (China,Uhindi,Uajemi).Afrika Kusini na nchi za Afrika ya Kaskazini (hasaSudan) wanaishi takriban asilimia 20,Australia naNew Zealand tena asilimia 15. Robo inayobaki wakoUlaya (Uingereza) naAmerika.

Kiuchumi matumizi yake siku hizi ni hasa kwa nyama. Maziwa hutumiwa zaidi kwajibini kama feta. Umuhimu wa sufu umepungua kutokana na uenezaji wa nguo za sintetiki.

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuKondoo-kaya kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Spishi zaArtiodactyla zilizo hai hadi sasa
Himaya:Animalia · Faila:Chordata · Ngeli:Mammalia · Ngeli ya chini:Eutheria · Oda ya juu:Laurasiatheria
NusuodaRuminantia
Antilocapridae
Giraffidae
Moschidae
Tragulidae
Cervidae
Familia hii kubwa iorodheshwa chini
Bovidae
Familia hii kubwa iorodheshwa chini
FamiliaCervidae
Cervinae
Muntiacus
Elaphodus
Dama
Axis
Rucervus
Panolia
Elaphurus
Hyelaphus
Rusa
Cervus
Capreolinae
FamiliaBovidae
Cephalophinae
Hippotraginae
Reduncinae
Aepycerotinae
Peleinae
Alcelaphinae
Pantholopinae
Caprinae
Nusufamilia hii kubwa iorodheshwa chini
Bovinae
Nusufamilia hii kubwa iorodheshwa chini
Antilopinae
Nusufamilia hii kubwa iorodheshwa chini
FamiliaBovidae (nusufamiliaCaprinae)
Ammotragus
Arabitragus
Budorcas
Capra
Capricornis
Hemitragus
Naemorhedus
Nilgiritragus
Oreamnos
Ovibos
Ovis
Pseudois
Rupicapra
FamiliaBovidae (nusufamiliaBovinae)
Boselaphini
Bovini
Strepsicerotini
FamiliaBovidae (nusufamiliaAntilopinae)
Antilopini
Saigini
Neotragini
NusuodaSuina
Suidae
Tayassuidae
NusuodaTylopoda
Cetartiodactyla(Divisheni bila tabaka, juu ya Artiodactyla)

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia:Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.

Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Kondoo-kaya&oldid=1108322"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp