Kiwawonii nilugha ya Kiaustronesia nchiniIndonesia inayozungumzwa naWawawonii kwenye visiwa vyaWawonii naMenui. Mwaka wa 2004 idadi ya wasemaji wa Kiwawonii imehesabiwa kuwa watu 30,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiwawonii iko katika kundi la Kicelebiki.
![]() | Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuKiwawonii kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari. |