Kitungag
Zana
Kijumla
Chapa/peleka nje
Miradi mingine
Kitungag nilugha ya Kiaustronesia nchiniPapua Guinea Mpya inayozungumzwa naWatungag. Mwaka wa 1990 idadi ya wasemaji wa Kitungag imehesabiwa kuwa watu 12,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kitungag iko katika kundi la Kioseaniki.
![]() | Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuKitungag kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari. |