Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Kitomini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kitomini nilugha ya Kiaustronesia nchiniIndonesia inayozungumzwa naWatomini kwenye kisiwa chaSulawesi. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kitomini imehesabiwa kuwa watu 30,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kitomini iko katika kundi la Kicelebiki.

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuKitomini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Kitomini&oldid=1001854"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp