Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Kitanga cha nyota

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kitanga cha Jua kama kilivyoonekana wakati wa kupatwa kwa Jua mwaka 2017.

Kitanga cha nyota ni eneo lautegili wenyejoto sana lililo tabaka la juu zaidi laangahewa lanyota, hasaJua.[1] Ndani ya kitanga mna miundo iitwayondimi.

Kitanga cha Jua kiko juu yaangarangi na kinaeneamamilioni yakilometa kwenyeanga-nje. Kitanga kinahalijoto kali sana inayopitakelvini 1,000,000,joto zaidi yauso wa Jua.[2] Ingawa kitanga kina joto zaidi,uso wa Jua ni angavu zaidi kabisa. Kwa hiyo, kwa kawaida kitanga hakionekaniduniani, lakini kinaonekana wazi sana wakati wakupatwa kwa Jua, ambapo uso wa Jua unafunikwa naMwezi na kitanga kinaanza kuonekana kama miale yanuru izingirayo Jua.

Taswira ya tabaka na sifa za Jua.

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  1. Baldi, Sergio (1976).A contribution to the Swahili maritime terminology (kwa Kiingereza). Istituto Italo-Africano. uk. 33.
  2. Aschwanden, Markus J. (2005).Physics of the Solar Corona: An Introduction with Problems and Solutions. Chichester, UK: Praxis Publishing.ISBN 978-3-540-22321-4.
Makala hii kuhusu mambo yasayansi bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuKitanga cha nyota kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Kitanga_cha_nyota&oldid=1410024"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp