Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Kitagalaka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kitagalaka nilugha ya Kipama-Nyungan nchiniAustralia inayozungumzwa naWatagalaka katika jimbo laQueensland. Mwaka wa 2005, kulikuwa na msemaji mmoja wa Kitagalaka tu, yaani lugha imekaribia kutoweka kabisa hivi karibuni. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kitagalaka kiko katika kundi la Kipaman.

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuKitagalaka kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.


Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Kitagalaka&oldid=1007320"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp