Hosea alitangaza hasaupendo waMungu kwataifa lake.Adhabu zenyewe zilizotabiriwa zinaelezwa kuwa zimetokana na upendo huo wenyewivu ambao unalenga kuwarudisha Waisraeli katika upendo mwaminifu wakiuchumba.
Maisha ya nabii mwenyewe yalikuwa natabu ya namna hiyo ili yawe kwa wote kielelezo che uhusiano kati ya Mungu na watu wake.
AlidaiWaisraeli wawe waaminifu kwa Mungu pekee, pamoja na kusisitiza kuwadini haiwezi kuishia katikaibada zisizohuishwa na upendo, la sivyo wataangamia.
Mwanzoni mwa kitabu, Hosea aliagizwa na Munguamuoekahaba atakayemzaliawanaharamu anayewakilisha taifa laIsraeli lililoabudumiungu mingine pia kamaasili yaustawi wake na kutegemeambinu za kisiasa ili kujidumisha salama.
Kwa kuwa hawakumtegemea Mungu wao, Hosea aliwatabiria Waisraeli watapelekwauhamishoni hukoAshuru.
Kama vile mke wa Hosea alivyoweza kujirekebisha, hivyo hata Israeli ikitubu itaokoka na kufaidika nabaraka za Mungu.
Alama yaDK inaonyesha vitabu vyadeuterokanoni visivyopatikana katika matoleo yote ya Biblia.
Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuKitabu cha Hosea kama historia yake au athari wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.