Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Kisorsoganon-Kusini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kisorsoganon-Kusini (auKiwaray) nilugha ya Kiaustronesia nchiniUfilipino inayozungumzwa naWasorsoganon. Mwaka wa 1975 idadi ya wasemaji wa Kisorsoganon-Kusini imehesabiwa kuwa watu 85,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kisorsoganon-Kusini iko katika kundi la Kifilipino.

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuKisorsoganon-Kusini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.


Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Kisorsoganon-Kusini&oldid=1001494"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp