Kisenoufo-Nyarafolo nilugha ya Kiniger-Kongo nchiniCote d'Ivoire inayozungumzwa naWasenufo. Mwaka wa 2003 idadi ya wasemaji wa Kisenoufo-Nyarafolo imehesabiwa kuwa watu 48,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kisenoufo-Nyarafolo iko katika kundi la Kigur.
![]() | Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuKisenoufo-Nyarafolo kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari. |