Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Kiroma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiroma nilugha ya Kiaustronesia nchiniIndonesia inayozungumzwa naWaroma kwenye kisiwa chaRomang. Mwaka wa 1991 idadi ya wasemaji wa Kiroma imehesabiwa kuwa watu 1700. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiroma iko katika kundi la Kitimor-Babar.

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuKiroma kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Kiroma&oldid=1001071"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp