Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Kingamini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kingamini kilikuwalugha ya Kipama-Nyungan nchiniAustralia iliyozungumzwa naWangamini katika jimbo laAustralia Kusini. Hakuna wasemaji ambao wamebaki kuongea lugha hii, yaani lugha ya Kingamini ilitoweka. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kingamini kiko katika kundi la Kikarniki.

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuKingamini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Kingamini&oldid=1288153"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp