Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Kindengereko

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kindengereko nilugha ya Kibantu nchiniTanzania inayozungumzwa naWandengereko. Mwaka wa2013 idadi ya wasemaji wa Kindengereko imehesabiwa kuwa watu 72,000. Kufuatana na uainishaji walugha za Kibantu waMalcolm Guthrie Kindengereko iko katika kundi la P10.

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  • Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002.The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428.ISBN 91-7346-454-6
Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuKindengereko kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.


Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Kindengereko&oldid=1288101"
Jamii:
Jamii iliofichwa:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp