Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Kimeru (Kenya)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kimeru (auKimîîru) nilugha ya Kibantu nchiniKenya inayozungumzwa naWameru. Isichanganywe nalugha ya Kimeru nchiniTanzania. Mwaka wa 2009 idadi ya wasemaji wa Kimeru imehesabiwa kuwa watu 1,658,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu waMalcolm Guthrie Kimeru iko katika kundi la E50.

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuKimeru (Kenya) kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Kimeru_(Kenya)&oldid=1287660"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp