Kimemoni
Zana
Kijumla
Chapa/peleka nje
Miradi mingine
Kimemoni nilugha ya Kihindi-Kiulaya nchiniPakistan inayozungumzwa naWamemoni. Idadi ya wasemaji wa Kimemoni haijulikani lakini hasa ni watu wazima, yaani lugha imo hatarini mwa kutoweka. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kimemoni kiko katika kundi la Kiaryan.
| Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuKimemoni kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari. |