Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Kilaiyolo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kilaiyolo (piaKibarang-Barang) nilugha ya Kiaustronesia nchiniIndonesia inayozungumzwa naWalaiyolo naWabarang-Barang kwenye kisiwa chaSelayar. Mwaka wa 1997 idadi ya wasemaji wa Kilaiyolo imehesabiwa kuwa watu 800, yaani Walaiyolo 250 na Wabarang-Barang 550. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kilaiyolo iko katika kundi la Kicelebiki.

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuKilaiyolo kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Kilaiyolo&oldid=1286988"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp