Kiinapang nilugha ya Kiramu na Kisepik ya Chini nchiniPapua Guinea Mpya inayozungumzwa naWainapang. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kiinapang imehesabiwa kuwa watu 1830. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiinapang iko katika kundi la Kitamolan.
![]() | Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuKiinapang kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari. |