Kibakati'-Rara
Zana
Kijumla
Chapa/peleka nje
Miradi mingine
Kibakati'-Rara (piaKiluru) nilugha ya Kiaustronesia nchiniIndonesia naMalaysia inayozungumzwa naWabakati' kwenye kisiwa chaKalimantan. Mwaka wa 2004 idadi ya wasemaji wa Kibakati'-Rara nchini Indonesia imehesabiwa kuwa watu 12,000. Pia kuna wasemaji 11,300 nchini Malaysia (2000). Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibakati'-Rara iko katika kundi la Kiland-Dayak.
| Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuKibakati'-Rara kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari. |