Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Kiaore

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiaore ilikuwalugha ya Kiaustronesia nchiniVanuatu iliyozungumzwa naWaaore kwenye kisiwa chaSanto. Siku hizi hakuna wasemaji wa Kiaore, yaani lugha imetoweka kabisa. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiaore iko katika kundi la Kioseaniki.

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuKiaore kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Kiaore&oldid=1262335"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp