Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Kaunti ya Nyeri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kuhusu mji, tazamaNyeri
Kaunti ya Nyeri
Kaunti
Kilele cha Lenana katikaMlima Kenya, Kaunti ya Nyeri
Kaulimbiu: ""

Kaunti ya Nyeri katika Kenya
NchiKenya
Nambari19
IlianzishwaTarehe 4 Machi, 2013
Ilitanguliwa naMkoa wa Kati
Mji mkuuNyeri
Miji mingineKaratina,Othaya,Kiganjo
Serikali
GavanaEdward Mutahi Kahiga
SenetaEphraim Maina
Mwakilishi wa wanawakeRahab Mukami Wachira
BungeBunge la Kaunti ya Nyeri
Maeneo bunge
Eneo
Jumlakm2 3 325 (sq mi 1 284)
Idadi ya Watu
Jumla759,164
Msongamano228 /km²
Majira ya SaaSaa za Afrika Mashariki (UTC+3)
Tovuti
 nyeri.go.ke

Kaunti ya Nyeri ni mojawapo yakaunti za Kenya zilizopo baada yakatiba mpya yaJamhuri ya Kenya kupatikanamwaka2010.Wakati wasensa yamwaka2019 wakazi walikuwa 759,164 katika eneo lakm2 3,325,msongamano ukiwa hivyo wawatu 228 kwakilomita mraba[1].Makao makuu na mji mkuu yao niNyeri.

Jiografia

[hariri |hariri chanzo]

Kaunti ya Nyeri imepakana naLaikipia (kaskazini),Kirinyaga (mashariki),Murang'a (kusini) naNyandarua (magharibi).

Topografia ya kaunti huwa na miinuko mikali na mabonde. Mlima Kenya hupatikana katika mpaka wa Meru na Nyeri.Mto Chania naMto Sagana ndiyomito mikubwa ambayo hupitia katika kaunti hii[2].

Utawala

[hariri |hariri chanzo]

Kaunti ya Nyeri imegawanyika ifuatavyo[3]:

Eneo bunge/kaunti ndogoKata
TetuDedan Kimathi,Wamagana,Aguthi-Gaaki
KieniMweiga,Naromoro,Kiamathaga,Mwiyogo/Endarasha,Mugunda,Gatarakwa,Thegu River,Kabaru,Gakwa
MathiraRuguru,Magutu,Iriaini,Konyu,Kirimukuyu,Karatina Town
OthayaMahiga,Iria-ini,Chinga,Karima
MukurweiniGikondi,Rugi,Mukurwe-ini West,Mukurwe-ini Central
Nyeri TownKiganjo/Mathari,Rware,Gatitu/Muruguru,Ruring'u,Kamakwa/Mukaro

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019)[4]

[hariri |hariri chanzo]
  • Tetu 80,453
  • Kieni East 110,376
  • Kieni West 88,525
  • Mathira East 99,065
  • Mathira West 59,895
  • Nyeri South 91,081
  • Mukurwe-ini 89,137
  • Nyeri Central 140,338
    • Mt. Kenya Forest 188
    • Aberdare Forest 106

Tazama pia

[hariri |hariri chanzo]

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutokachanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo2021-05-30.
  2. A REVIEW OF NYERI COUNTY-KENYA STRATEGIC PLAN 2013 – 2017, iliwekwa mnamo 29/04/2018
  3. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutokachanzo mnamo 2021-09-04. Iliwekwa mnamo2021-09-04.
  4. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutokachanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo2021-05-30.
Kenya Kaunti zaKenya na miji yake mikubwa
Kaunti 47
(tangu Machi 2013)
Miji mikubwa zaidi
Makala hii kuhusu maeneo yaKenya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusuKaunti ya Nyeri kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Kaunti_ya_Nyeri&oldid=1409882"
Jamii:
Jamii iliofichwa:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp