Kaunti ya Kitui
Zana
Kijumla
Chapa/peleka nje
Miradi mingine
Kwa makao makuu, somaKitui
Kaunti ya Kitui | |
---|---|
Kaunti | |
![]() Mbuga ya Kitaifa ya Tsavo Mashariki, Kaunti ya Kitui | |
![]() | ![]() |
Kaulimbiu: "" | |
![]() Kaunti ya Kitui katika Kenya | |
Coordinates:1°29′S38°23′E / 1.483°S 38.383°E /-1.483; 38.383 | |
Nchi | ![]() |
Nambari | 15 |
Ilianzishwa | Tarehe 4 Machi, 2013 |
Ilitanguliwa na | Mkoa wa Mashariki |
Mji mkuu | Kitui |
Miji mingine | Mwingi |
Serikali | |
Gavana | Charity Kaluki Ngilu,EGH |
Naibu wa Gavana | Gideon Nzau Wathe |
Seneta | Enoch Kiio Wambua |
Mwakilishi wa wanawake | Irene Muthoni Kasalu |
Bunge | Bunge la Kaunti ya Kitui |
Wawakilishi Wadi | 40 |
Maeneo bunge | 8 |
Eneo | |
Jumla | km2 30 429.5 (sq mi 11 748.9) |
Idadi ya Watu | |
Jumla | 1,136,187 |
Msongamano | 37 /km² |
Majira ya Saa | Saa za Afrika Mashariki (UTC+3) |
Tovuti kitui.go.ke |
Kaunti ya Kitui ni mojawapo yakaunti za Kenya zilizopo baada yakatiba mpya yaJamhuri ya Kenya kupatikanamwaka2010.
Wakati wasensa yamwaka2019 wakazi walikuwa 1,136,187 katika eneo lakm2 30,429.5,msongamano ukiwa hivyo wawatu 37 kwakilometa mraba[1].
Makao makuu yakoKitui.
Kaunti ya Kitui inapakana na kaunti zaTana River,Taita Taveta,Makueni,Machakos,Embu naTharaka Nithi. Ina hali yatabianchikavu nanusu kavu. Ina vilima na ardhi tambarare. Kitui hupatamisimu miwili ya mvua, Machi hadi Mei na Oktoba hadi Disemba.
Kitui imegawanywa katikamaeneo bunge yafuatayo[2]:
![]() | Makala hii kuhusu maeneo yaKenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusuKaunti ya Kitui kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari. |