Kaunti ya Kisii
Zana
Kijumla
Chapa/peleka nje
Miradi mingine
Kaunti ya Kisii ni mojawapo yakaunti za Kenya zilizopo baada yakatiba mpya yaJamhuri ya Kenya kupatikanamwaka2010.
Wakati wasensa yamwaka2019 wakazi walikuwa 1,266,860 katika eneo lakm2 1,323,msongamano ukiwa hivyo wawatu 958 kwakilometa mraba[1].
Makao makuu yakoKisii.
Kaunti ya Kisii inamaeneo bunge yafuatayo:
Wakazi wengi wa kaunti hii wanategemeakilimo kwachakula na mapato ya kifedha. Baadhi yamimea inayokuzwa nimahindi,ndizi nachai.[3].
Pia kunabiashara, hasauuzaji wamazao ya kilimo.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo yaKenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusuKaunti ya Kisii kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari. |