KatikaBiblia jina hilo (kwaKiebrania כנען, knaʿn) linatumika zaidi kumaanisha sehemu ile tu ambayo ilitekwa naWaisraeli na kuitwaIsraeli. Sehemu hiyohiyo baadaye tena ilikuja kuitwa piaPalestina, yaani nchi yaWafilisti.
Baada ya mataifa hayo mawili kuteka sehemu kubwa upande wa Kusini kuanziakarne ya 13 KK, ile ya Kaskazini zaidi iliyobaki chini ya wakazi asili ilikuja kuitwa piaFoinike.
Canaan & Ancient Israel, University of Pennsylvania Museum of Archaeology and Anthropology. Explores their identities (land-time, daily life, economy & religion) in pre-historical times through the material remains that they have left behind.
Makala hii kuhusu eneo fulani bado nimbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuiongezea habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.