Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Jiometri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jiometria inajulisha ukubwa wa pembetatu.

Jiometri (pia:Jiometria, kutokaneno laKigiriki γεωμετρία,geometria, linaloundwa na geo- "dunia" na -metron "kipimo", kwa kupitiaKiingerezageometry) nitawi lahisabati linalochunguzaukubwa,mjao,umbo na mahali paeneo augimba.

Tawi la jiometri linalochunguzapembetatu hasa huitwatrigonometria.

Maumbo huwa nanyanda (dimensioni)mbili yakiwa bapa, autatu kama ni gimba. Kwa mfanomraba,pembetatu naduara ni bapa na kuwa na nyanda 2 zaupana naurefu. Kumbetufe (kamampira) aumchemraba huwa na nyanda 3 za upana, urefu nakimo (urefu kwenda juu).

Jiometri za kitambo

[hariri |hariri chanzo]

Maumbo ya jiometri yalionekana kwanza nchiniMesopotamia naMisri katikamilenia ya pilibaada yaYesu Kristo. Maumbo haya yalikuwa na urefu, uwanda ambazo zilitumika katika kupimaardhi na kuzurusayari nyingine.

Matumizi

[hariri |hariri chanzo]

Jiometri hutumiwa kupima eneo namzingo waumbo bapa. Inaweza kupima piamjao na eneo la uso wa gimba.

Katikamaisha ya kilasiku jiometri inasaidia kujua vipimo vya vitu vingi kama vile:

Historia

[hariri |hariri chanzo]

Chanzo cha jiometri kilikuwaelimu ya kupima ukubwa wa eneo fulani, kwa mfano eneo lamashamba yakijiji kwa kusudi la kuligawa kati yawatu wake.

Mtaalamu waUgiriki ya Kale aliyeitwaEuklides alitungakitabu cha kwanza kinachofahamika kuhusu jiometri.

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo yahisabati bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuJiometri kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Jiometri&oldid=1374419"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp