Japani ni mojawapo yanchi zilizoendelea zaidikiuchumi duniani, ikiwa na mojawapo yapato la taifa kubwa zaidi kwa viwango vya kimataifa.Uchumi wake unaegemea hasa katikaviwanda vyateknolojia ya hali ya juu,magari, vifaa vya kielektroniki, naroboti. Makampuni makubwa kamaToyota,Sony, na Panasonic yanatoka Japani na yana ushawishi mkubwa duniani. Licha yarasilimali chache za asili, Japani imefanikiwa kukuzauchumi wake kupitiaubunifu,elimu ya juu, na nidhamu ya kazi miongoni mwa wananchi wake.
Visiwa vikubwa na muhimu zaidi ni vinne tu; ndivyoHonshu,Hokkaido,Shikoku naKyushu.Safu ya milima inapita visiwa vyote vikubwa na kusababishamsongamano mkubwa wa wakazi katikamiji kutokana na uhaba wa ardhi ya kukalia. Hali halisi Japani yote ni safu ya milima tu inayopanda juu kutokasakafu ya bahari na vilele vyamilima yake huonekana juu ya uso wabahari kama visiwa vikubwa au vidogo.
Japani inapatwa kila mwaka nadhoruba kali aina yataifuni. Hatatsunami (ni neno laKijapani) ni kawaida. Nchi inajikinga na mitambo mengi ya kutoa taarifa ya tsunami kuanza pia mitambo ya kufunga milango ya mabandari.
Wajapani wengi hukalia sehemu ndogo ya 10% za nchi. Kuna miji kumi yenye wakazi zaidi ya milioni moja. Miji mikubwa niTokyo,Yokohama,Nagoya,Osaka,Kyoto,Kobe,Hiroshima,Fukuoka,Kitakyushu,Sendai naSapporo.Usafiri ndani ya Japani ni hasa kwa treni, mabasi na ndege. Treni yaShinkansen visiwani Honshu na Kyushu ni kati ya treni zenye mkasi mkubwa duniani.
Kwa sasa manispaa za Japani zinaundwa upya kwa kuunganisha mikoa, miji na baadhi ya vijiji. Mabadiliko hayo yatapunguza idadi ya miji nchini Japani.[1]
Wajapani wanaweza kushirikiibada zadini mbalimbali kadiri wanavyojisikia, lakiniasilimia 60 hawana dini maalumu.Wabuddha ni asilimia 34, wafuasi wamadhehebu yaShinto ni asilimia 4,Wakristo sanasana ni asilimia 2.3.
Kato; nawenz. (1997).A History of Japanese Literature: From the Man'Yoshu to Modern Times. Japan Library.ISBN1-873410-48-4.{{cite book}}:Explicit use of et al. in:|author2= (help);Unknown parameter|displayauthors= ignored (|display-authors= suggested) (help)
1. Nchi ina maeneo katikaAsia naUlaya. 2. Nchi ikoAsia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi zaUlaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.
Makala hii kuhusu maeneo yaJapani bado nimbegu. Je unajua kitu kuhusuJapani kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.