Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

J

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Alfabeti ya Kilatini
AaBbCcDd
EeFfGgHhIiJj
KkLlMmNnOoPp
QqRrSsTtUuVv
WwXxYyZz
(Kwa matumizi ya Kiswahili)
chdhghkh
mbmvndngng'nj
nynzshth

J ni herufi ya 10 katikaalfabeti ya Kilatini ambayo ni pia mwandiko waKiswahili cha kisasa. Asili yake niIota yaalfabeti ya Kigiriki.

Maana za J

[hariri |hariri chanzo]

Historia ya alama J

[hariri |hariri chanzo]

Historia ya herufi J ni pamoja naI.

Kifinisia
Y (yad)
Kigiriki
Iota
Kietruski
I
Kilatini
I
Kilatini Kipya
J
Kilatini Karibu Zaidi
Jj
Kilatini IKilatini IKilatini J

Asili ya alama ni picha andishi iliyoonyesha mkono. Wafinisia walikuwa rahisihsa alama hiyo na kuiita kwa neno lao la mkono "yad" (au: yod). Wakaitumia kama alama ya sauti "y" na pia ya "i" ndefu. Wagiriki wakaipokea kama "Iota" na kurahisisha umbo lake zaidi hadi kuwa mstari tu. Wakaitumia kwa sauti ya "i".

Alama ikaendelea hivyo katika alfabeti zaWaetruski na zaKilatini. Katika Kietruski ilimaanisha yote vokali ya "i" na konsonanti ya "y" na Waroma wakapokea vile katika Kilatini.

Katika Ulaya wa karne watu hasa Wajerumani walianza kuona haja ka kutofautisha kati ya sauti ya "i" na sauti ya "y" wakaanzisha kutofautisha kati ya "i" na "j" (kwa matamshi ya y). Lakini kwa muda mrefu hadi karne ya 19 mwandishi wa I na J haukufuata utaratibu uliokubaliwa.

Wasemaji wa lugha kamaKiingereza naKifaransa walitumia "J" kwa sauti ya "j" jinsi ilivyoingia katika Kiswahili.

Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=J&oldid=1376891"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp