Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Israel

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutokaIsraeli)
Kwa bibilia, tazamaisrael.
Israel
מדינת ישראל (Kiebrania)
دَوْلَةْ إِسْرَائِيل (Kiarabu)
Wimbo wa taifa: "Hatikvah"
Eneo la Israeli na Maeneo walioteka ya PalestinaEneo la Israeli na Maeneo walioteka ya Palestina
Mji mkuu
na mkubwa
Jerusalem
Lugha rasmiKiebrania
Kabila (2025)73.5%Wayahudi
21.1%Waarabu
5.4% Wengine
SerikaliJamhuri ya Muungano wa Rais
 • Rais
Isaac Herzog
 • Waziri Mkuu
Benjamin Netanyahu
Uhuru kutoka Uingereza
 • Uhuru
14 Mei 1948
Eneo
 • Jumlakm2 20,770 km²
 • Maji (asilimia)2.71%
Idadi ya watu
 • Kadirio la 2025increase 10,009,800
 • Msongamano454/km²/km2
PLT (PPP)Kadirio la 2025
 • Jumlaincrease $565.878 bilioni (ya 47)
 • Kwa kila mtuincrease $55,847
PLT (kawaida)Kadirio la 2025
 • Jumlaincrease $550.905 bilioni
 • Kwa kila mtuincrease $54,370
HDI (2022)0.915
SarafuShekel Mpya ya Israeli (₪) ILS
Majira ya saaUTCIST (UTC+2)
Upande wa magariKulia
Msimbo wa simu+972
Jina la kikoa.il
Tanbihi:
Eneo jumla la Israeli pamoja naGolan Heights naJerusalem ya Mashariki ni 22,072 km²

Israel (kwaKiebrania:מדינת ישראל -Medinat Yisra'el; kwaKiarabu:دَوْلَةْ إِسْرَائِيل -dawlat Isrā'īl) , rasmiDola la Israel, ni nchi iliyoko Magharibi mwaAsia. Iko katika eneo la Kusini mwa Levant katika Mashariki ya Kati; na inapakana naLebanoni naSyria upande wa kaskazini, Ukingo wa Magharibi naJordan upande wa mashariki, Ukanda waGaza naMisri upande wa kusini-magharibi, na Bahari ya Mediterranean upande wa magharibi. Israel pia ina pwani ndogo kwenyeBahari ya Shamu kwenye pointi yake ya kusini kabisa, na sehemu yaBahari ya Chumvi inapatikana kando ya mipaka yake ya mashariki. Mji wake mkuu niYerusalemu, wakatiTel Aviv ni eneo kubwa la mijini na kituo cha kiuchumi cha nchi hiyo.

Historia

Nchi ya kisasa ilianzishwa tarehe14 Mei1948 lakini nyuma kunahistoria ndefu, ambayo kwa sehemu muhimu inasimulia naBiblia kamakiini chahistoria ya wokovu.

Mji mkuu umekuwaYerusalemu tangu mwaka1950 lakini nchi nyingi hazikubali kuwa hivyo kwa sababu hali yake kadiri yaSheria ya kimataifa haieleweki.

Demografia

Takriban 74.9% za wakazi niWayahudi ambao wengi wao wanafuatadini yaUyahudi, na 20.7 % niWaarabu ambao wengi niWaislamu (16%) lakini piaWakristo (2% za raia wote: kati ya Wakristo hao karibu 80% ni Waarabu).Wahamiaji wengi wasiopata uraia ni Wakristo.

Lugha rasmi niKiebrania naKiarabu.Lugha nyingine zinazotumika sana nyumbani niKirusi,Kifaransa naKiamhari, mbali yaKiingereza.

Tazama pia

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Nchi na maeneo yaAsia

Afghanistan |Armenia2 |Azerbaijan |Bahrain |Bangladesh |Bhutan |Brunei |China |Falme za Kiarabu |Georgia2 |Hong Kong3 |Indonesia |Iraq |Israel |Jamhuri ya China (Taiwan) |Japani |Kamboja |Kazakhstan |Kirgizia |Korea Kaskazini |Korea Kusini |Kupro2 |Kuwait |Laos |Lebanoni |Macau3 |Malaysia |Maldivi |Mongolia |Myanmar |Nepal |Omani |Pakistan |Palestina |Qatar |Saudia |Singapuri |Sri Lanka |Syria |Tajikistan |Timor ya Mashariki |Turkmenistan |Uajemi |Ufilipino |Uhindi |Urusi1 |Uthai |Uturuki1 |Uzbekistan |Vietnam |Yemen |Yordani

1. Nchi ina maeneo katikaAsia naUlaya. 2. Nchi ikoAsia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi zaUlaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.


Makala hii kuhusu maeneo yaAsia bado nimbegu.
Je unajua kitu kuhusuIsrael kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Israel&oldid=1407144"
Jamii:
Jamii iliofichwa:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp