Jamhuri ya Indonesia Republik Indonesia (Kiindonesia) Kaulimbiu: Bhinneka Tunggal Ika (Kijava cha Kale) "Umoja katika Tofauti"Wimbo wa taifa: "Indonesia Raya"Eneo la Indonesia katika ASEAN Indonesia katika dunia Mji mkuu na mkubwaJakarta Lugha rasmi Kiindonesia Serikali Jamhuri ya kirais ya muungano • Rais
Prabowo Subianto • Makamu wa Rais
Gibran Rakabuming Raka • Uhuru kutangazwa
17 Agosti 1945 • Kutambuliwa rasmi
27 Desemba 1949 Eneo • Jumlakm2 1,904,569 (ya ya 14) • Maji (asilimia)4.85% Idadi ya watu • Kadirio la 2024▲ 284,973,643 • Msongamano143/km2 PLT (PPP )Kadirio la 2025 • Jumla▲ $4.98 trilioni • Kwa kila mtu▲ $17,520PLT (Kawaida )Kadirio la 2025 • Jumla▲ $1.49 trilioni • Kwa kila mtu▲ $5,248HDI (2023)0.728juu Gini (2024)37.9 Sarafu Rupia ya Indonesia (Rp) Majira ya saa UTC UTC+7, +8, +9 (WIB, WITA, WIT)Upande wa magari Kushoto Msimbo wa simu ++62 Jina la kikoa .id
Indonesia ninchi ya visiwa katikaAsia ya Kusini-Mashariki . Iko upande waKusini -Mashariki kati yaBahari ya Hindi naPasifiki .Visiwa vyake ni sehemu yaFunguvisiwa la Malay , ingawa Guinea Mpya kwa kawaida haihesabiwi katika fungu hilo. Indonesia imepakana naPapua Guinea Mpya kwenye kisiwa chaGuinea Mpya , pia naTimor ya Mashariki kwenye kisiwa chaTimor , halafu naMalaysia kwenye kisiwa chaBorneo . Nchi nyingine zilizo karibu niAustralia ,Singapuri naUfilipino .
Indonesia nitaifa lenye wakazi wengi waKiislamu duniani , likiwa na watu wanaozidimilioni 280, na hivyo kuifanya kuwa nchi ya nne kwa idadi ya watuduniani .Mji mkuu wake niJakarta ,jiji kubwa lenye shughuli nyingi zakisiasa ,kiuchumi nakitamaduni .Lugha rasmi niKiindonesia (Bahasa Indonesia): ingawa kuna zaidi yalugha 700 zinazozungumzwa nchini humo, lugha hiyo inatumika kama chombo cha kuunganisha wananchi wamakabila mbalimbali.
Historia ya Indonesia imeathiriwa na mchanganyiko wadini ,biashara naukoloni . Kabla ya ukoloni, Indonesia ilikuwa nyumbani kwafalme mbalimbali zenye ushawishi mkubwa kama vileSrivijaya naMajapahit . Katikakarne ya 16 ,Wareno na baadayeWaholanzi walifika na kudhibiti maeneo mengi, hasa kupitia Kampuni ya Kiholanzi ya India ya Mashariki. Indonesia ilijipatiauhuru kutoka kwaUholanzi mwaka1945 chini yauongozi waSukarno . Tangu wakati huo, nchi imepitia vipindi mbalimbali vya kisiasa, ikiwa ni pamoja nautawala wa kijeshi , hadi kuanzishwa kwademokrasia ya kisasa mwishoni mwakarne ya 20 .
Indonesia ni nchi ya visiwa karibu 18,000 ilhali zaidi ya 6,000 kati ya hivyo vinakaliwa nawatu .
Visiwa vikubwa vyenye wakazi wengi ni hasa vitano:
Wisma 46 , jengo refu kuliko yote ya Indonesia, likiwa Jakarta
Jalan Thamrin, barabara muhimu zaidi ya Central Jakarta
Ramani ya Indonesia
Wilaya za Indonesia
Malioboro, barabara muhimu zaidi huko Yogyakarta
Trans Jogja Bus, mwendokasi wa Yogyakarta
Mapishi ya Kiindonesia:
Soto Ayam (chicken soup),
sate kerang (
shellfish kebabs ),
telor pindang (preserved eggs),
perkedel (fritter) na
es teh manis (sweet iced tea)
An Indonesian Army infantryman participating in the U.N.'s Global Peacekeeping Operation Initiative
Pindad Panser "Anoa" shown during Indo Defense and Aerospace Expo 2008
B-25 Mitchell bombers of the AURI in the 1950s
A
Javanese engineer closes one of the gun bay doors on a Dutch
Buffalo , Januari 1942.
GE U20C in Indonesia, #CC201-05
GE U20C "Full-Width Cabin" in Indonesia, #CC203-22
GE U20C full computer control locomotive in Indonesia, #CC204-06
Serikali Taarifa za jumla WikiMedia Commons