Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Indochina

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya Indochina ya1886

Indochina ni jina la kijiografia linalojumlisha maeneo ya kibara yaAsia ya Kusini-Mashariki (bila visiwa) upande wa kusini yaChina na upande wa mashariki yaUhindi.

Kihistoria ilitaja koloni yaIndochina ya Kifaransa iliyojumlisha maeneo ya nchi za

  • Kambodia
  • Laos
  • Vietnam

Mara nyingi pia maneeo ya

huhesabiwa kuwa sehemu za Indochina.

Kiutamaduni nchi hizi ziliathiriwa na Uhindi na China kwa viwango tofauti. Kwa jumla athira ya Uhindi ilikuwa kubwa lakini Vietnam imepokea mengi zaidi kutoka China.

Dini kuu niUbuddha hasa dhehebu yaTheravada. Ubuddha yaMahayana iko zaidi Vietnam. Malaysia ina Waislamu wengi. Wahindu si wengi kwa sababu kihistoria Ubuddha ilichukua nafasi ya Uhindu.

Wakristo si wengi kwa jumla lakini makabila kadhaa yamepokea Ukristo kama sehemu za utamaduni wao.

Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Indochina&oldid=882331"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp