Duniani kwa kawaida hakuna hidrojeni ya atomi mojamoja hutokea kamagesi yenye molekuli za H2.
Masi yajua letu ni hasa hidrojeni lakini pia sehemu kubwa ya masi zasayari kubwa yaaniMshtarii,Zohali,Uranus naNeptun. Kwa jumla asilimia 93 za atomi zote na asilimia ya masi katikamfumo wa jua letu ni H.
Muundo wa atomi ya hidrojeni. Elektroni yenye chaji ya hasi yazunguka kiini chenye chaji ya chanja. Kiini cha kawaida kina protoni moja to; ni isotopi ya kudumu ya pekee kati ya elementi zote isiyo na nyutroni.
viwanda vya kusafisha mafuta kwa ajili ya hidrodesulfurinaztion[1][2], hidrodealkylation,hidroisomerization
usanisi wa methanoli na amonia
hidrojeni ya michanganyiko ya kikaboni isiyoshiba
Hidrojeni kwa ajili ya michakato hii hutengenezwa kila wakati mahali hapo, kwa kupasuka kwa mvuke na gesi asilia. Hidrojeni mbadala inaweza kutengenezwa kwa kutumia maji kwa kutumia nishati ya jua na upepo. Kwa sababu ya eneo lake la kijiografia, Afrika ina uwezo mzuri wa kuzalisha hidrojeni mbadala na amonia ili kupunguza utegemezi wake kwa uagizaji wa mbolea;[3][4].
Makala hii kuhusu mambo yakemia bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuHidrojeni kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.