Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Hereheretue

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kisiwa cha Hereheretue

Hereheretue ni kisiwa chaPolinesia ya Kifaransa ndani yafunguvisiwa yaTuamotu. Kiko upande wa kaskazini-magharibi wa kisiwa chaAnuanuraro. Eneo la kisiwa ni 4km². Mji mkubwa kabisa kisiwani huitwa Otetou. Mwaka wa 2012, idadi ya watu kisiwani imehesabiwa kuwa 56. Watu wakaao kisiwani kwa Hereheretue huongeaKituamotu naKitahiti.

Makala hii kuhusu eneo fulani bado nimbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.

Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Hereheretue&oldid=1119025"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp