Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Hatimiliki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Hatimiliki (kutokamaneno yaKiarabu; kwaKiingereza:title deed,deed au zamanievidence[1]) nihati yoyote inayothibitisha kuwamtu anahaki juu yakitu fulani kamammiliki wake au kwa namna nyingine yoyote. Mara nyingi ni hati inayothibitisha haki juu ya sehemu yaardhi aukiwanja.

Umbo la hati hutegemeasheria za nchi mbalimbali.[2][3]

Tanbihi

[hariri |hariri chanzo]
  1. O'Connor, E. Rory (1987).The Irish Notary. Dublin: Professional Books. uk. 83.
  2. "Contract under Seal Law & Legal Definition".USLegal.com.Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 3 Mei 2015. Iliwekwa mnamo21 Agosti 2015.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. Griffiths, Andrew (2005).Contracting With Companies. London:Hart Publishing. uk. 7.
Makala hii kuhusu mambo ya sheria bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuHatimiliki kama historia yake au uhusiano wake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Hatimiliki&oldid=1151993"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp