Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Gliseri wa Antiokia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Gliseri wa Antiokia (alifarikiAntiokia, leo nchiniUturuki) alikuwashemasi aliyefiadini yaUkristo wakati wadhuluma yaDola la Roma.

Tangu kale anaheshimiwa naKanisa Katoliki naKanisa la Kiorthodoksi kamamtakatifumfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwatarehe14 Januari[1].

Tazama pia

[hariri |hariri chanzo]

Tanbihi

[hariri |hariri chanzo]
  1. Martyrologium Romanum
Makala hii bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuiongezea habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Gliseri_wa_Antiokia&oldid=1108490"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp