Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Fiziolojia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Fiziolojia niutafiti wa jinsiviumbe vinavyofanya kazi.Wanaikolojia wanaweza kujifunza jinsiviungo vyamwili vinavyofanyakazi pamoja ili kufanya mambo kutokea.

Somo hili mara nyingi hugawanyika katika kategoriatatu:

Kwabinadamu, kwa mfano,homoni zammeng'enyo wa chakula nakemikali nyingine hufanywa natumbo,ini nakongosho. Kusinyaa kwamisuli hutokea kwa sababu ya ujumbe wa kikemikali uliofanywa naneva za hiyo misuli.

Kwa kujifunza jinsi mwili hufanya kazi kwa kawaida,wanafiziolojia namadaktari wanaweza kuelewa vizuri kinachotokea wakati viungo havifanyi kazi kawaida.

Kwa mfano,ufahamu wa jinsi kazi yatezi yathairoidi imesaidia katika kutiburovu.Uchunguzi wamfumo wa mzunguko wa damu na wamfumo wa neva umewasaidia madaktari kuelewa na kutibumagonjwa kama vile magonjwa yamoyo,kiharusi nashinikizo la damu.

Sayansi asili
Sayansi umbile
Sayansi ya jamii
Sayansi tumizi
Sayansi za dunia
Makala hii kuhusu mambo yabiolojia bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuFiziolojia kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Fiziolojia&oldid=1217373"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp