Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Falsafa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
WanafalsafaPlato naAristoteli;uchongaji wakarne ya 15 kwenyemnara wakanisa hukoFirenze,Italia.

Falsafa (kutokaKigirikiφιλοσοφίαfilosofia = filo,pendo la sofia,hekima) nijaribio la kuelewa na kuelezaulimwengu kwa kutumiaakili inayofuatahoja zamantiki. Kwa hiyo ili kutengeneza falsafa yako kunahitajika kuwa na hoja za msingi, hoja zilizojaa hoja (akili), kisha kuiweka falsafa yako kwa jamii ili waisome na kuielewa. Wapo watakaokubaliana na wewe kulingana na hoja zako na wapo watakaokupinga kutokana na hoja zako vilevile.

Falsafa huchunguza mambo kama kuweko na kutokuweko,ukweli,ujuzi,uzuri,mema na mabaya,lugha,haki na mengine yoyote.

Tofauti nadini,imani auitikadi, njia ya falsafa ni mantiki inayoeleza hatua zake ikiwa tayari kuchungulia upya kila hatua iliyochukua. Kwa hiyo falsafa ni njia ya kuuliza maswali na kutafuta majibu.

Katikalugha ya kilasiku neno "falsafa" mara nyingi linachukuliwa kutaja jumla ya mafundisho au imani ya mtu au kundi la watu, kwa mfano "falsafa yachama fulani", "falsafa yamaisha yangu" na kadhalika. Lakini kwa jumla fikra hizo hazistahili kuitwa "falsafa". Ila tu kuna makundi yawanafalsafa wanaopendelea mielekeo tofauti na kuhusu haya inawezekana kutumia neno "falsafa ya fulani" kwa kutaja matokeo ya kazi yao.

Matawi ya falsafa

[hariri |hariri chanzo]

Falsafa jinsi inavyoendeshwa kwenyevyuo vikuu huwa namatawi kadhaa kama vile:

Aina za falsafa

[hariri |hariri chanzo]

Kunambinu nyingi za falsafa zilizoendelea kulingana namazingira yautamaduni ambako wanafalsafa waliishi. Mara nyingi falsafa imeendelea karibu na dini, ndani ya dini au kwa mchanganyiko na dini mbalimbali.

Lakini falsafa inachunguza pia matamko ya dini na kuuliza maswali juu ya maana ya matamko haya.

Wanafalsafa muhimu waAsia walikuwaKonfutse naLao Tze katikaChina naBuddha katikaUhindi.

Chanzo cha falsafa katikaUlaya kilitokea katikaustaarabu waUgiriki ya Kale. Wanafalsafa wa huko waliweka misingi mingi kwadunia ya baadaye pamoja na misingi yasayansi ya sasa. Kati ya majina mashuhuri niPlato naAristoteli.

Wanafalsafa

[hariri |hariri chanzo]

Wanafalsafa wa mapokeo ya magharibi

[hariri |hariri chanzo]

Wanafalsafa wa kisasa kutoka Ulaya naMarekani

[hariri |hariri chanzo]

Wanafalsafa waAfrika

[hariri |hariri chanzo]

Wanafalsafa waAsia

[hariri |hariri chanzo]

Tazama pia

[hariri |hariri chanzo]

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  • A. Mihanjo, Falsafa na Usanifu wa Hoja, Salvatorianum, Morogoro
  • A. Mihanjo, Falsafa na Ufunuo wa Maarifa, Salvatorianum, Morogoro

Marejeo mengine

[hariri |hariri chanzo]
Vyanzo (google books)
Utangulizi
Kwa eneo
Mashariki
Afrika
Uislamu
Historia
Ya kale
  • Knight, Kelvin.Aristotelian Philosophy: Ethics and Politics from Aristotle to MacIntyre.ISBN 978-0-7456-1977-4
Karne za kati
Karne za mwishomwisho
  • Existentialism: Basic Writings (Second Edition) by Charles Guignon, Derk Pereboom
  • Curley, Edwin,A Spinoza Reader, Princeton, 1994,ISBN 978-0-691-00067-1
  • Bullock, Alan, R. B. Woodings, and John Cumming,eds.The Fontana Dictionary of Modern Thinkers, in series,Fontana Original[s]. Hammersmith, Eng.: Fontana Press, 1992, cop. 1983. xxv, 867 p.ISBN 978-0-00-636965-3
  • Scruton, Roger.A Short History of Modern Philosophy.ISBN 978-0-415-26763-2
Ya sasa
Makala muhimu

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Falsafa&oldid=1343636"
Jamii:
Jamii zilizofichwa:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp