Emiliani wa Valence (alifarikiValence, leo nchiniUfaransa, mwishoni mwakarne ya 4) alikuwaaskofu wa kwanza wamji huo[1] .
Tangu kale anaheshimiwa naWakatoliki naWaorthodoksi kamamtakatifu[2] .
Sikukuu yake huadhimishwatarehe13 Septemba[3].
- (Kifaransa) Josep-Cyprien. Nadal,Histoire hagiologique ou vies des Saints et des Bienheureux du Diocèse de Valence, Valence 1855, pp. 59-70
- (Kilatini)Jean-Barthélemy Hauréau,Gallia christiana, vol. XVI, Parigi 1865, coll. 291-292
- (Kifaransa) Ulysse Chevalier,Notice chronologico-historique sur les Evêques de Valence, Valence 1867, p. 2
- (Kifaransa)Louis Duchesne,Fastes épiscopaux de l'ancienne Gaule, vol. I, Paris 1907, p. 222
- (Kifaransa) M. Besson,6. Aemilianus, in «Dictionnaire d'Histoire et de Géographie ecclésiastiques», vol. I, Parigi 1909, col. 655
- René Wasselynck,Emiliano, vescovo di Valence, santo, in «Bibliotheca Sanctorum», vol. IV, col. 1192
 | Makala hii bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuiongezea habari. |