Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Edinburgh

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Princes Street mjini Edinburgh

Edinburgh (kwaKigaeli:Dùn Èideann) nimji mkuu piamji mkubwa wa pili waUskoti wenye wakazi 435,790 (2005). Mji uko kwenye pwani ya mashariki ya Uskoti kwenyemdomo wamto Forthbaharini.

Boma la Edinburgh liko katikati ya mji kwenye kilima kikali.

Edinburgh imejulikana koteUlaya kwa sababu yasherehe yake ya maigizo inayofanyika kila mwaka na washiriki elfu kadhaa.

Mji wa Edinburgh

Historia

[hariri |hariri chanzo]

Boma lilianzishwa kabla yakarne ya 7 BK. Mji ulianza kukua kando la boma. Mwaka 1437 umekuwa mji mkuu wa Uskoti badala yaPerth. Ilikuwa pia mahali pa kukutana kwa bunge la Uskoti liliopata jengo lake la pekee mwaka 1639. Baada ya maungano yaUingereza na Uskoti mwaka 1707 hapakuwa tena na serikali au bunge la pekee hadi1999 mwaka wa kurudishwa bunge na serikaliya kijimbo kwa Uskoti. Edinburgh imekuwa tena mji mkuu wa angalau wa jimbo linalojitawala katika mambo ya ndani.

Picha za Edinburgh

[hariri |hariri chanzo]

    Watu maarufu

    [hariri |hariri chanzo]

    Viungo vya nje

    [hariri |hariri chanzo]
    WikiMedia Commons
    WikiMedia Commons
    Wikimedia Commons ina media kuhusu:
    Makala hii kuhusu maeneo yaUlaya bado nimbegu.
    Je unajua kitu kuhusuEdinburgh kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
    Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
    Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
    Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Edinburgh&oldid=1397777"
    Jamii:

    [8]ページ先頭

    ©2009-2025 Movatter.jp