Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Denizli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ukumbi wa manispaa ya mji wa Denizli.

Denizli nimji uliopo mwishoni mwamashariki yamtoBüyük Menderes, ambapo kunamaporomoko yamita zaidi ya mia, katika kusini-magharibi mwa nchi yaUturuki, kwenyeMkoa wa Aegean.

Mji una wakazi wapatao 400,000 (kwa sensa ya 2006) na ndiyomji mkuu waJimbo la Denizli katikaMajimbo ya Uturuki. Huu ni mji unaokua sana katika sekta ya viwanda.

Mji wa Denizli umepata mafanikio makubwa sana kiuchumi hasa kwa shughuli zake za utengenezaji wa nguo na kuzusafirisha nchi za nje[1].

Mji huu umekuwa kituo kikubwa cha uzalishaji wa bidhaa zinazotazamiwa kupelekwa nchi za nje, Denizli hutajwa mara kwa mara, ukiwa sambamba na miji mingine ya Uturuki, ikiwa kama miji yenye kupiga hatu kubwa sana kimaendeleo[2].

Jina

[hariri |hariri chanzo]

Jina la Denizli linamaana ya "maeneo yenye bahari au ziwa" kwaKituruki, lakini mji wenyewe haupo katika pwani. Jina linatokana na tahajia kadha wa kadha ambazo zina vyanzo vya maji yanayopita chini kwa chini na kuelekea katika eneo la mkoa wa karibu ya ziwa lililopo karibu na mji huko Uturuki.[3]

Historia

[hariri |hariri chanzo]

Watu mashuhuri

[hariri |hariri chanzo]

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  1. Bernard Fingleton, Ayda Eraydın, Raffaele Paci, Bilge Armatlı Köroğlu, Burak Beyhan p. 229 (2003).Regional Economic Growth, SMEs and the Wider EuropeISBN 0-7546-3613-5, Chapter 11: The changing role of SMEs in the regional growth process: The case of Denizli.Ashgate Publishing.{{cite book}}: CS1 maint: multiple names: authors list (link) CS1 maint: numeric names: authors list (link)
  2. Hüseyin Özgür,Pamukkale University."Integration of a Local Economy to the Global and European Markets through Export–Led Growth and Specialized Textile Products Export: Home Textile Production in Denizli – Turkey"(PDF).University of Lodz. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutokachanzo(PDF) mnamo 2007-06-30. Iliwekwa mnamo2007-04-18.
  3. An alternative theory holds that the name wasDomuzlu (the place of boars) due to the boar in the mountains around the town, and was changed as Muslims found the name offensive.

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
AdanaAdıyamanAfyonkarahisarAğrıAksarayAmasyaAnkaraAntalyaArdahanArtvinAydınBalıkesirBartınBatmanBayburtBilecikBingölBitlisBoluBurdurBursaÇanakkaleÇankırıÇorumDenizliDiyarbakırDüzceEdirneElazığErzincanErzurumEskişehirGaziantepGiresunGümüşhaneHakkariHatayIğdırIspartaİstanbulİzmirKahramanmaraşKarabükKaramanKarsKastamonuKayseriKırıkkaleKırklareliKırşehirKilisKocaeliKonyaKütahyaMalatyaManisaMardinMersinMuğlaMuşNevşehirNiğdeOrduOsmaniyeRizeSakaryaSamsunSiirtSinopSivasŞırnakTekirdağTokatTrabzonTunceliŞanlıurfaUşakVanYalovaYozgatZonguldak
Bendera ya Uturuki
Bendera ya Uturuki
Makala hii kuhusu maeneo yaUturuki bado nimbegu.
Je unajua kitu kuhusuDenizli kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Denizli&oldid=1300027"
Jamii:
Jamii iliofichwa:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp