Wanyama,mimea,bakteria navirusi vilevile, wote wana DNA. Molekuli hii inabeba ndani yake habari zote zaurithi wa kiumbehai husika, yaani habari zatabia zote zinazopokewa kutoka kwa wazazi. Mwenye DNA zimojeni zinazotunza habari maalumu juu ya urithi wa kiumbe.
Molekuli ya DNA inaumbo kamangazi mbili za kupanda zilizounganishwa pamoja na kupindika kamasukurubu. Kila ngazi ninukleotidi ambayo ni muungo wasukari fulani pamoja namoja kati yabesi oganianne. Ufutano wa besi hizo unaamua namna ya kutengenezaprotini wakati wa kujenga seli mpya.
DNA ina uwezo wa kujinakili. Wakati wa kuzaa DNA inajipasua katikati ya pande mbili za "ngazi" yake. Hivyonusu "ngazi" ya upande wamzazi mmoja inaungana na nusu "ngazi" ya mzazi mwingine.
Makala hii kuhusu mambo yabiolojia bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuDNA kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.