Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Bwabwaja

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bwabwaja
Bwabwaja koo-njano
Uainishaji wa kisayansi
Himaya:Animalia (Wanyama)
Faila:Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli:Aves (Ndege)
Oda:Charadriiformes (Ndege kamavitwitwi)
Familia:Glareolidae (Ndege walio na mnasaba nabwabwaja)
Ngazi za chini

Jenasi 2:

Bwabwaja nindege wajenasiGlareola naStiltia katikafamilia yaGlareolidae. Umbo na mwenendo yao inafanana nambayuwayu. Wana mabawa marefu yaliyochongoka, miguu mifupi na mkia mwenye panda. Hukamatawadudu wakipuruka na hutaga mayai yao chini.

Spishi za Afrika

[hariri |hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine

[hariri |hariri chanzo]

Picha

[hariri |hariri chanzo]
  • Little pratincole
    Little pratincole
  • Oriental pratincole
    Oriental pratincole
  • Australian pratincole
    Australian pratincole
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Bwabwaja&oldid=1133567"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp