Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Bungoma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bungoma


Bungoma
Bungoma is located in Kenya
Bungoma
Bungoma

Mahali pa mji wa Bungoma katika Kenya

Majiranukta:0°34′0″N34°34′0″E / 0.56667°N 34.56667°E /0.56667; 34.56667
NchiKenya
KauntiBungoma
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla81,151

Bungoma nimji waKenya yamagharibi karibu na mpaka waUganda ambao nimakao makuu yakaunti ya Bungoma.

Wakazi walikuwa 81,151 wakati wasensa yamwaka2009[1].

Bungoma iko kwenyekimo chamita 1,385 juu yaUB, mguuni paMlima Elgon.

Wenyeji wa Bungoma niWabukusu ambao nitawi laWaluhya.

Mji wa Bungoma ulianzishwa kama kituo chareli ya Uganda katikamiaka ya 1920. Bungoma ikateuliwa kama kituo cha mwisho ndani ya Kenya kabla ya kufikia mpaka wa Uganda.

Wakati wa uhuru Bungoma ilionekana kama kijiji kikubwa chenye maduka machache. Mji ukaendelea kukua haraka.

Uchumi umetegemea hasakilimo kinachostawi vizuri kutokana nahali ya hewa na wingi wamvua. Kunakiwanda chasukari. Kiwanda chakaratasi chaWebuye kipo karibu.

Tazama pia

[hariri |hariri chanzo]

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  1. Sensa ya Kenya 2009Ilihifadhiwa 9 Januari 2019 kwenyeWayback Machine.,tovuti yaKNBS, ilitazamwa Januari 2009.
Kenya Kaunti zaKenya na miji yake mikubwa
Kaunti 47
(tangu Machi 2013)
Miji mikubwa zaidi
Makala hii kuhusu maeneo yaKenya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusuBungoma kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Bungoma&oldid=1178290"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp