Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Biografia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Biografia (kutokaKiingerezaBiography) nineno la kutaja habari za kweli zamaisha yamtu.

Asili ya neno niKigiriki, hasa lilitajabios (= maisha) nagraphein (= andika).

Biografia kwaKiswahili kilichozoeleka ni "Wasifu", japo kumekuwa na tabia ya kukopa maneno.

Wasifu ukiandikwa namhusika unaitwa "tawasifu" ambayo kwa Kiingereza inaitwaautobiography.

Biografia ni sehemu yafasihi. Kupitiamaandishi mbalimbali, biografia inaweza pia kutengenezewafilamu na kadhalika.

Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuBiografia kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Biografia&oldid=1166523"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp