Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Bernard Francis Law

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nembo ya Kardinali Bernard Law, yenye kauli mbiu yake "Kuishi ni Kristo", mbele ya Santa Susanna.

Bernard Francis Cardinal Law (4 Novemba193120 Desemba2017) alikuwa kiongozi wa ngazi ya juu waKanisa Katoliki, maarufu hasa kwa kuficha vitendo vya ubakaji wawatoto namapadri waKanisa Katoliki.

AlikuwaAskofu Mkuu wa Boston, Mshereheshaji Mkuu wa Basilica di Santa Maria Maggiore, naKardinali Paroko wa Santa Susanna, ambayo ilikuwa parokia ya Wamarekani hukoRoma hadi 2017, wakati jumuiya ya Wamarekani ilihamishiwa San Patrizio.[1][2]

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  1. Paulson, Michael (Desemba 14, 2002)."A church seeks healing".Boston Globe.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. (in it) Rinuncia dell'Arcivescovo di Boston (U.S.A.) (Press release). The Vatican. December 13, 2002. http://press.vatican.va/content/salastampa/it/bollettino/pubblico/2002/12/13/0620/01982.html. Retrieved December 21, 2017.
Makala hii bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuiongezea habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Bernard_Francis_Law&oldid=1385433"
Jamii:
Jamii iliofichwa:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp