Mwaka711Waarabu naWaberber Waislamu walivamia Hispania kwa kuvuka mlango wa Gibraltar na kuanzishautawala wao katika sehemu kubwa zarasi ya Iberia uliokwisha mwaka1492. Kati ya maeneo yote ya Hispania ni Andalusia iliyokaa muda mrefu chini ya utawala wa Kiislamu. Eneo lote chini ya utawala wa Kiislamu likaitwa "Al-Andalus" na Andalusia ya leo ilikuwakiini chake.
Kati ya mabaki ya kipindi hicho nimajengo kamaAlhambra wa Granada,majina ya kijiografia kama mto Guadalquivir (kutokaKiarabuالوادي الكبير "wadi al kabir" yaani mto mkubwa) namuziki wa Andalusia.
Makala hii kuhusu maeneo yaHispania bado nimbegu. Je unajua kitu kuhusuAndalusia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.