Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Ananda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha ya kuchonga kutokaJava inawaonyesha Buddha na Ananda

Ananda (karne ya 54 KK) alikuwa mhudumu mkuu waBuddha na mmoja wa wanafunzi wake wakuu kumi. Miongoni mwa wanafunzi wengi wa Buddha, Ananda anaheshimiwa hasa kwa kuwa nakumbukumbu bora zaidi. Hivyo mafundisho mengi ya Buddha ambayo yamehifadhiwa katikamaandiko yaSutta-Piṭaka (Pāli; Sanskrit Sutra-Pitaka) yanategemea kukumbuka kwake. Kwa sababu hiyo, anaheshimiwa kamaMweka Hazina wa Dhamma, wakatiDhamma (Kisanskrit: dharma) inamaanisha mafundisho ya Buddha.

Sehemu yamapokeo inasema kwamba Ananda alikuwabinamu wa Buddha. Alitawazwa kuwamtawa na Puṇṇa Mantānīputta akawamwalimu wake. Baadaye Buddha alimchagua kuwa mhudumu wake.

Aliandamana na Buddha kwamaisha yake yote, akitenda sio tu kama msaidizi, bali piakatibu na msemaji wake.

Ānanda ni mmoja wa watu wanaopendwa sana katikaUbuddha. Alijulikana kwa kumbukumbu yake,elimu nahuruma, na mara nyingi alisifiwa na Buddha kwa mambo haya.

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Ananda&oldid=1202281"
Jamii:
Jamii iliofichwa:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp