Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Muziki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutokaAina ya Muziki)
Zumari kutoka miaka 41,000 iliyopita iliyotengenezwa kwamfupa.
Mchoro waUgiriki wa Kale juu ya chombo ukionyesha kipindi cha muziki (510 KK hivi).

Muziki ni mpangilio wasauti ili kuunda mseto wa umbo,utangamano, melodi, mdundo, au vilevile mbinu elezi. Muziki kwa ujumla unakubaliwa kuwa utamaduni wa ki-ulimwengu na hupatikana katika jamii zote za wanadamu.

Ufafanuzi wa muziki hutofautiana sana kifalsafa na kimbinu. Ingawa wasomi wanakubali kwamba muziki unafafanuliwa na vipengele maalum, hakuna makubaliano kuhusu uhakika wa vipengele hivi. Mara nyingi, muziki hutambulishwa kama mbinu ainati ya kuwasilisha ubunifu.[1]

Shughuli mbalimbali huhusika katika uundaji wa muziki, na mara nyingi hugawanywa katika kategoria za utunzi, ubunifu tendi na uigizaji. Muziki unaweza kuimbwa kwa kutumiaala mbalimbali za muziki, ikiwemo sauti ya binadamu. Inaweza pia kutungwa, kupangwa, au kuchezwa kifundi au kielektroniki, kama vile kisanduku muziki, paipu bareli, au programu dijitali kwenye kompyuta.

Muziki ni aina yasanaa inayotumiasauti mbalimbali: zakibinadamu na zaala za muziki, ama kwa pamoja au kila moja pekee.

Asili yaneno iko katikalugha yaKigiriki ambamo huitwaμουσική (mousikee).

Baadhi ya sifa za muziki niuzito wa sauti (pitch) nawizani aumahadhi (rhythm).

Aina ya muziki inayopatikana koteduniani ninyimbo ambazo ni maneno yanayotolewa kwa sauti na mahadhi fulani mara nyingi pamoja na ala za muziki. Kwa wanaorekodi sauti, wao huenda kwa studio kurekodi na huchukuliwa kwakinasasauti kilichoambatanishwa natarakilishi na kudhibitiwa nakompresa.

Wanamuziki maarufu wa Afrika

[hariri |hariri chanzo]

Wanamuziki maarufu wa Ulaya

[hariri |hariri chanzo]

Picha

[hariri |hariri chanzo]
  • Gzuz and Bonez MC
    Gzuz and Bonez MC
  • Zara Larsson
    Zara Larsson
  • Tiesto
    Tiesto
  • Inna
    Inna
  • Sławomir
    Sławomir
  • Timati
    Timati

Tanbihi

[hariri |hariri chanzo]
  1. Hoad, T. F., mhr. (2003)."music".The Concise Oxford Dictionary of English Etymology.ISBN 978-0-19-283098-2. Iliwekwa mnamo30 Mei 2022.{{cite encyclopedia}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuMuziki kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Muziki&oldid=1378630"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp