Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Mwanzo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Karibu kwenyeWikipedia,
Hadi leo tuna makala takriban98,349 kwaKiswahili

Je unapenda kuona Wikipedia yetu kama kitabu?Bofya hapa!
     

     

Kamusi Elezo ya Kiswahili

Karibu kwenye Wikipedia ya Kiswahili!

Wikipedia ni mradi wa kuandikakamusi elezo kamili na sahihi ya maandishi huru.

Kila mtu anaweza kuhariri makala yoyote, kutoa makosa ya lugha, kutohoa maneno na kuendeleza na kukuza makala, kwa kuandika kwa ufupi au kwa urefu. Tunakushauri ujiandikishe nakufungua akaunti. AngaliaWikipedia:Mwongozo ili ujifunze unavyoweza kuhariri au kusanifisha ukurasa. Usisite kushiriki; kwa sababu huu ni mradi wa ushirikiano, na hautaisha kamwe. Kamusi elezo itaimarika vizuri zaidi kila wakati. Angaliaukurasa wa jumuia,ukurasa wa jamii, na ule wamakala za msingi za kamusi elezo ili kung'amua unaweza kufanya kazi zipi ili kuboresha Wikipedia.


Je, wajua...

Kutoka kwenye mkusanyiko wa makala za Wikipedia:

Ngorongoro

  • ... kwambaHifadhi ya Ngorongoro imepokewa katika orodha yaurithi wa dunia yaUNESCO?
  • ... kwambaAsha-Rose Mtengeti Migiro nimwanasiasa wa kwanza kutoka nchiniTanzania aliyepata kuwa Naibu Katibu Mkuu waUmoja wa Mataifa?
  • ... kwambaSeptemba 1752 ilikosa siku kumi na moja? KatikaDola la Uingereza, ulikuwa mwaka pekee wenye siku 355, kwani Septemba 3-13 zilirukwa wakati Dola lilipopitishakalenda ya Gregori.
  • ... kwambaSamia Hassan Suluhu nirais wa kwanzamwanamkeAfrika ya Mashariki? Aliapishwa kuwa rais mara baada yakifo cha mtangulizi wake,John Pombe Magufuli.


  • Makala ya wiki

    Samia Suluhu Hassan (alizaliwa27 Januari1960) niRais wa 6 waTanzania na mwanachama wachama tawala chaChama Cha Mapinduzi. Kabla ya kuwa rais kutokana nakifo chaJohn Magufuli, kilichotokeatarehe17 Machi2021, Suluhu alikuwamakamu wa rais kwa sababu ya kuwa mgombea mwenza katikaUchaguzi Mkuu wa 2015.

    Tarehe5 Novemba 2015 aliapishwa kamamakamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiwamwanamke wa kwanza kufikiacheo hicho, akarudia baada yauchaguzi mkuu wa tarehe29 Oktoba2020.

    Sasa amekuwarais wa kwanzamwanamke na rais wa Pili kutokaZanzibar Wa kwanza Akiwa ni Ally Hassan Mwinyi Rais wa awamu ya Pili.

    Suluhu alizaliwa katika Usultani wa Zanzibar.

    Alisoma shule za msingi zaChwaka (Unguja),Ziwani (Pemba) naMahonda (Unguja) katika miaka ya 1966 hadi 1972.

    Aliendelea na masomo ya sekondari shule za Ngambo, Unguja (1973-1975) na Lumumba, Unguja (1976)[3].

    Baada ya kumaliza masomo yake ya sekondari mnamo 1977, aliajiriwa na Wizara ya Mipango na Maendeleo kama karani. Alifuata kozi fupi kadhaa. Mnamo 1986, alihitimu kutoka Taasisi ya Usimamizi wa Maendeleo (Chuo Kikuu cha Mzumbe cha leo) na diploma ya hali ya juu katika utawala wa umma.

    Baada ya kuhitimu, aliajiriwa kwenye mradi uliofadhiliwa na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (World Food Programme). Kati ya miaka 1992 na 1994, alisoma kwenyeChuo Kikuu cha Manchester,Uingereza na kuhitimu stashahada ya uzamili katika uchumi.

    Mnamo mwaka 2015, alipata MSc yake katika Maendeleo ya Uchumi wa Jamii kupitia mpango wa pamoja kati ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania naChuo Kikuu cha Kusini mwa New Hampshire.►Soma zaidi


    Picha nzuri ya wiki

    Samia Sulu Hassan

    Samia Suluhu Hassan ni rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano waTanzania. Picha hii ni 2011 akiwa Ubalozi waMarekani,Dar es Salaam.

    Takwimu ya Wikipedia ya Kiswahili

    • Idadi ya makala:98,349
    • Idadi ya kurasa zote:195,742 (pamoja na kurasa za watumiaji, majadiliano, msaada n.k.)
    • Idadi ya hariri:1,406,157
    • Idadi ya watumiaji waliojiandikisha:75,098
    • Idadi yawakabidhi:15
    • Idadi ya watumiaji hai:580 (Watumiaji waliojiandikisha na kuchangia katika muda wa siku 30 zilizopita)
    Bofya hapa kwa kupata namba za sasa
    Katikamwezi wa Agosti 2020 wikipedia ya Kiswahili iliangaliwa mara milioni 1.73 hivi, ambayo ni sawa na mara 55,800 kwa siku au mara 2,326 kila saa. Asilimia 52 za wasomaji wetu wako Tanzania, asilimia 13 wako Kenya, asilimia 18 wako Marekani na mnamo asilimia 10 wako Ulaya.
    Angalia idadi ya wasomaji kwa makala mbalimbali
    (fungua anwani kwa browser yako, ondoa majina yaliyopo na ingiza jina la makala (hadi makala 10) unayopenda. Unaweza kubadilisha kipindi cha taarifa utakachoona; takwimu kabla ya 2015hapa)
    • na makala 100 zilizotazamiwa zaidi"Topviews" kwa kipindi fulani.
    (unachagua kati ya makala 100 kwa mwezi au kwa siku)

    Michango ya wanawiki: angalia hapa michango ya mtumiaji kwenye kila mradi wa Wikimedia(andika jina la mtumiaji kwenye sanduku)

    Jumuia za Wikimedia

    Kamusi elezo ya Wiki ni kamusi elezo huru iliyo chini yaShirika Lisilo la Kiserikali laWikimedia Foundation, ambalo linasimamia miradi mingine mbalimbali ambayo imeorodheshwa hapo chini. Mpaka sasa miradi inayopatikana Kiswahili ni Wikipedia na Wikamusi. Wikitabu imewekwa Kiswahili lakini bado ni tupu. Mengine inapatikana Kiingereza pamoja na lugha tofauti.
    Commons
    Ghala ya Nyaraka za Picha na Sauti
    Meta-Wiki
    Uratibu wa Miradi yote ya Wikimedia
    Wikamusi
    Kamusi na Tesauri
    Wikitabu
    Vitabu vya bure na Miongozo ya Kufundishia
    Wikidondoo
    Mkusanyiko wa Nukuu Huria
    Wikichanzo(Wikisource)
    Matini za vyanzo asilia kwa Kiswahili
    Wikispishi
    Kamusi ya Spishi
    Wikichuo
    Jumuia ya elimu
    Wikihabari
    Habari Huru na Bure


    Wikipedia kwa lugha nyingine

    Wikipedia kwa lugha nyingine

    Wikipedia ipo katika lugha zaidi ya 250. Bofya hapa kuona orodha yalugha zote za Wikipedia. Ona hapa hali yaWikipedia kwa lugha za Kiafrika.

    Lugha zenye makala zaidi ya1,000,000:
    Deutsch (Kijerumani) -English (Kiingereza) -Español (Kihispania) -Français (Kifaransa) -Italiano (Kiitalia) -Nederlands (Kiholanzi) -Polski (Kipolishi) -Русский (Kirusi)Svenska (Kiswidi)-
    Lugha zenye makala zaidi ya500,000:
    日本語 (Kijapani) -Português (Kireno) -Tiếng Việt-中文 (Kichina)
    Lugha zenye makala zaidi ya250,000:
    Català (Kicatalan) -Suomi (Kifinland) -Norsk bokmål (Kinorway) -Українська (Kikrain)
    Lugha zenye makala zaidi ya100,000:
    Česky (Kicheki) -Dansk (Kidenmark) -Esperanto (Kiesperanto) -Bahasa Indonesia (Kiindonesia) -Magyar (Kihungaria) -Română (Kiromania) -Slovenčina (Kislovakia) -Volapük -Türkçe (Kituruki) -
    Lugha za Kiafrika:
    Afrikaans ·አማርኛ ·Bamanankan ·Chi-Chewa ·chiShona ·chiTumbuka ·Ɛʋɛ ·Fulfude ·Gĩkũyũ ·Hausa ·Ìgbo ·isiXhosa ·isiZulu ·Taqbaylit ·Kiarabu ya Masri ·Kikongo ·Kinyarwanda ·Kirundi ·Lingala ·Luganda ·Malagasy ·Malti ·Oromoo ·Oshiwambo ·Sängö ·seSotho ·Setswana ·SiSwati ·Soomaaliga ·ትግርኛ ·Tshivenda ·Twi ·Wolof ·Xitsonga ·Yorùbá ·
    Jinsi ya kuanzisha Wikipedia kwa lugha mpya
    Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mwanzo&oldid=1280366"
    Jamii:

    [8]ページ先頭

    ©2009-2025 Movatter.jp